• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi & Mipango Miji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mazingira na Taka Ngumu
      • Mipango na Uchumi
      • Utawala & Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Matumizi bora ya Ardhi
    • Miundombinu yetu
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
    • Rasilimali za mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Huduma ya Maji
    • Education
    • Kilimo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • UKIMWI
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

SILINDE AFURAHISHWA NA UBORA WA VYUMBA VYA MADARASA YANAYOJENGWA MANISPAA SUMBAWANGA

Ilibandikwa: December 1st, 2021

Kazi ya ujenzi wa vyumba 49 vya madarasa katika Manispaa ya Sumbawanga inaendelea kwa kasi na mengi yakielekea ukingoni tayari kwaajili ya kuchukua wanafunzi wa Kidato cha mwakwa 2022.

Pamoja na changamoto za wali za kazi hii ikiwapo uhaba wa saruji na kupanda wa bidhaa za ujenzi Wataalamu wa Manispaa ya Sumbawanga, Wakuu wa shule na Kamati za ujenzi zinashirikiana kwa karibu kuhakikisha kazi hiyo hailali.

Hivi karibuni Naibu Waziri wa TAMISEMI David Silinde alifanya ziara katika Manispaa ya Sumbawanga na kushuhudia baadhi ya maeneo kazi ikiendelea na mwisho wa siku hakuficha hisia zake na kutamka kuwa anafurahishwa namna kazi inavyoendelea lakini pia ubora wa madarasa hayo yanayojengwa.

“Manispaa ya Sumbawanga ni moja ya eneo la kuigwa, nawapongezeni nyote akiwapo Mkurugenzi wa halmashauri Jacob Mtalitinya, Mbunge, Madiwani, Wakuu wa Sghule na wengine wote, kazi ni nzuri. Endeleeni hivyo hivyo” alisema Silinde.

Aidha Naibu Waziri huyo alizitaka halmashauri zingine mkoani Rukwa kuiga mfano wa Manispaa ya Sumbawanga kwa namna walivyojipanga kusimamia ujenzi huo wa vyumba vya madarasa.

Alisema fedha hizo zilizotolewa na Rais Samia Suluhu zinapaswa kuacha alama chanya kwenye sekta ya elimu, hivyo madarasa hayo lazima yawe ya mfano.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Sumbawanga Aesh Hilaly yeye aliomba serikali kuongeza fedha zingine ili ziweze kujenga vyoo vya kisasa kwa wanafunzi hao ambao shule nyingi za sekondari hazina vyoo licha wingi wa wanafunzi waliopo.

Matangazo

  • Waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 December 18, 2020
  • Walichaguliwa Kidato cha Kwanza 2021 -PDF December 18, 2020
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU YA AWALI NA MSINGI TANZANIA BARA,JANUARY 2022. February 15, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA. December 07, 2019
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • MKURUGENZI MTALITINYA AZITAKA IDARA NA VITENGO VYATAKIWA KUFANYA MAFUNZO YA NDANI

    May 27, 2022
  • WAFANYABIASHARA RUKWA WATAKIWA KUFUATA SHERIA

    May 19, 2022
  • HOSPITALI YA WILAYA YA MANISPAA YA SUMBAWANGA YAANZA KUTOA HUDUMA

    May 05, 2022
  • KUKAMILIKA KWA UJENZI VYA VITUO VYA AFYA KWAONGEZA UHABA WA WATUMISHI H/MANISPAA YA SUMBAWANGA

    April 11, 2022
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa