• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Manispaa
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi & Mipango Miji
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mazingira na Taka Ngumu
      • Mipango na Uchumi
      • Utawala & Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Matumizi bora ya Ardhi
    • Miundombinu yetu
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
    • Rasilimali za mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Huduma ya Maji
    • Education
    • Kilimo
    • Fishing
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati na majukumu yake
      • Fedha na Utawala
      • UKIMWI
      • Uchumi, Elimu & Afya
      • Mipango miji & Mazingira
    • Ratiba za Vikao
      • For Councilors
      • For Hon. Mayor
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
    • Huduma za Kisheria
    • Fedha
  • Kituo cha Habari
    • Albamu ya Picha
    • Video
    • Taarifa Kwa Umma
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Makala
    • Michezo & Burudani

MENEJA RUWASA ATAKAYESHINDWA KUZINDUA MRADI WA MAJI MACHI 22, KUVULIWA MADARAKA

Ilibandikwa: December 18th, 2021

Anaandika Sammy Kisika.

Waziri wa Wizara ya Maji Jumaa Aweso amewaagiza Meneja wote wa Wakala wa Maji vijijini RUWASA kutumia maadhimisho ya Wiki ya Maji Duniani kwaajili ya kujenga na kuzindua miradi ya maji kwenye maeneo ambayo wananchi bado wanatabika na kero ya maji.

Waziri Aweso aliyasema hayo jana wakati alipokutana na kuzungumza na watumishi wa sekta ya maji pamoja na viongozi wengine mkoani Rukwa.

Aweso alisema haina maana serikali kutoa fedha kwaajili ya ujezni wa miradi ya maji lakini fedha hizo zimekuwa zikakaa pasipo kutumika huku wananchi wakiendelea kuteseka kusaka maji umbali mrefu.

“Nawaagiza nyie Maneja wote kila ifikapo Machi 22, itumieni siku hiyo kwaajili ya uzinduzi wa miradi hiyo na kila wilaya ifanye hivyo, Meneja atakayeshindwa kufanya hivyo ateke maji kwenye ndoo na ajimwagie kichwani kisha aachie ngazi”. Alisema Awesu

Aidha aliwataka Watendaji wa sekta ya maji kufanya kazi kwa ushirikiano mkubwa ili waweze kutimiza malengo waliyowekewa na serikali na kuacha kutumia muda mwingi kukaa ofisini huku baadhi yao wakiendekeza majungu na uvivu.

Pia aliwataka Maneja wa RUWASA na Mamlaka za maji nchini kuhakikisha wanatenda haki katika kuongoza watumishi wenzao ambao wanawategemea kusimamia maslahi yao.

Alisema..”Kila mtumishi anahitaji kuwa na maisha bora, hivyo watendeeni haki kwa kile kinachopatikana kila mtu apate kulingana na nafasi yake ya kazi”.

Hatahivyo Waziri wa Maji alisema serikali itaendelea kutenga bajeti ya kujenga miradi ya maji kila mwaka ili Wizara hiyo itekeleze mipango yake ya kuwafikishia wananchgi wengi maji kwenye maeneo yao.

Alisema anataka Wizara hiyo iwe Wizara ya maji kweli kweli badala ya kuwa wizara ya ukame kwa mantiki ya kutopeleka maji kwa wananchi huku serikali ya Rais Samia Suluhu ikitoa fedha nyingi kwaajili ya miradi ya maji.

Matangazo

  • Waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 December 18, 2020
  • Walichaguliwa Kidato cha Kwanza 2021 -PDF December 18, 2020
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MITAALA YA ELIMU YA AWALI NA MSINGI TANZANIA BARA,JANUARY 2022. February 15, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 HALMASHAURI YA MANISPAA SUMBAWANGA. December 07, 2019
  • Angalia zote

Habari za Karibuni

  • MKURUGENZI MTALITINYA AZITAKA IDARA NA VITENGO VYATAKIWA KUFANYA MAFUNZO YA NDANI

    May 27, 2022
  • WAFANYABIASHARA RUKWA WATAKIWA KUFUATA SHERIA

    May 19, 2022
  • HOSPITALI YA WILAYA YA MANISPAA YA SUMBAWANGA YAANZA KUTOA HUDUMA

    May 05, 2022
  • KUKAMILIKA KWA UJENZI VYA VITUO VYA AFYA KWAONGEZA UHABA WA WATUMISHI H/MANISPAA YA SUMBAWANGA

    April 11, 2022
  • Angalia zote

Video

MANISPAA YA SUMBAWANGA KUTAFUTA MZABUNI WA KUZOA TAKA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • History
  • Councilors
  • Photo Gallery

Viunganishi vinavyofanana

  • Public Servant portal
  • Download your Salaryslip here
  • Looking for a job in Public Sector?
  • Get everything from the government
  • Rukwa
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Sumbawanga Municipal Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 187, Sumbawanga

    Simu ya Mezani: +255252802163

    Simu ya Kiganjani: +255 735519681/ +255

    Barua pepe: md@sumbawangamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Uhuru binafsi
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

HakiMiliki ©2017 Sumbawangamc . Haki Zote Zimehifadhiwa